Powered By Blogger

Wednesday, April 23, 2014

DIAMOND AT NEXT LEVEL; KWA MARA YA KWANZA ANAINGIA KATIKA TUZO ZA MTV BASE



Mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz ambae ameivunja rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushika nafasi ya kwanza kwenye kituo kikubwa cha TV Ufaransa cha Trace Urban, amechaguliwa kushiriki tuzo za MTV Base.

MTV ni kituo kingine cha TV Afrika ambacho pia hupatikana kwenye king'amuzi cha DStv kwenye maeneo mbalimbali ya nchi za Afrika.


Diamond na Anisa Mpungwe ndio watanzania waliochaguliwa kushiriki kwenye tuzo hizo ambapo wamewekwa kwenye vipengele vitatu.

No comments: